Saturday, December 29, 2012

Behind the Scene,Diddy akitengeneza tangazo

Sunday, December 23, 2012

T.I-Trouble Man:Heavy Is The Head, Bonge la albam

ICE CUBE KUJA NA ALBAM MPYA KABLA YA FILAMU YA 'FRIDAY'

Mkongwe wa N.W.A, Ice Cube, amewataka mashabiki wake wasubiri ujio wa albam yake mpya iitwayo 'Everythang's Corrupt' wakati huku akiendelea kuipika filamu yake ya 'Friday'.
"Yeah, [Last Friday is] coming, "We're marinating on it, putting it together…probably my next album [Everythang's Corrupt] will be done quicker than the Friday movie. We just turned in the script, so it's going to take a couple of more months to put it together."
Ndo mpango wa mkali Ice Cube,na kwenye movie ya Friday anatarajia kumtupia mtu mzima Chris Tucker mkali aliyewahi ku shine kwenye movie za Rush hour.

NAS ATAKIWA KULIPA $MILION 10 KWA KUTOTOKEA KWENYE TAMASHA ANGOLA

December 2011,promota wa American concert,Patrick Allocco alitekwa na mapromota wa Angola baada ya Nas kutotokea kwenye tamasha la mwaka mpya nchini Angola ambapo tayari alishalipwa. Promota huyo amesema kuwa alitekwa ili aweze kuwarudishia mapromota hao kiasi cha pesa zilizotolewa kwaajili ya tamasha hilo. Huku na huku Promota huyo aliweza kuachiwa huru mwezi february 2012. TMZ  
inasema kuwa kwamujibu wa sheria promota Alloco amemfungulia kesi Nas kwa madai ya kutaka kulipwa dola za kimarekani milioni kumi ($10,000,000) akidai kuwa kwa siku 50 alizokaa kama mateka ameathirika kisaikolojia,kimwili na kifedha pia.
Kwa upande wake Nas alipohojiwa March 2012 alisema kuwa alitumika kama 'scapegoat' yani mtu anaye hukumiwa au adhibiwa kwa makosa ya wengine. Kesi imefunguliwa Ijumaa juzi tarehe 21 Dec.2012.

Cassidy am Diss Meek Mill kwenye 'Me, Myself & iphone'

Baada ya Meek Mill kusema wazi kuwa ngoma ya Cassidy iitwayo "condom style" ndo ngoma mbaya zaidi katika historia ya Rap, Cassidy nae ametoka na track ya kumdiss Meek iitwayo 'Me, Myself & iphone'.Katika track hii ya Cassidy ameongea mambo kibao
lakini katika verse ya tatu ametupia maneno haya yakimuelekea Meek Mill: "He said he wanna battle niggas, but when I took him up on his offer he started to reconsider/ That cat lame on every song he rap the same/ That cat changed he got a deal and don't act the same/ That nigga wilding cause he sold a couple hundred thousand/ But I sold triple what that nigga sold my first album/ He not selling cause that nigga can't stop yelling/ He know he can't fuck with you that nigga look up to you/ That ain't nothing new I raised son/ I was around when that clown couldn't even get his braids done/ Why he dropped that 'I'm a Boss' shit?/ Cause his boss say he a BAWSE and he just on his boss dick." Isikilize ngoma hiyo hapa cassidy-me-myself-iphone

Powered by mp3skull.com Katika hali inayoonesha kuwa hii bifu inaendelea, Meek Mill na Cassidy wameanza kutupiana maneno kupitia akaunti zao za twitter. Alianza Meek Mill kwa kuandika hivi: "Listening 2 this diss..... Ima say cuz you lost ya mind! U really gone up top mentally ...... I feel sorry for u! Lol," he wrote. "When me and @CASSIDY_LARSINY was locked in the same jail!!! He was on 'PC' protective custody .... I was on the 'drama block' #difference. He gonna battle @lilsnupe now! Lol. Ima let em b great tho! 'Stroke em condom style' lol. Then @CASSIDY_LARSINY u got booked for a body u ain't do and took a deal on ya co-defendant..... Left him for dead! Halfway telling! Now we calling ya bluff somebody put it up if he don't got it.. Ima waiting...riding thru my old hood in my new whip." Pia Meek amesema kuwa anataka kufanya battle kifedha zaidi ""After tomar I don't wanna hear no more about it.... #mmg #dcr. And when beanie sigel was in jail he was never on 'PC' so we found out 'that was a lie.' Then we can donate the money 2 the schools they Truna close .... Our city need it....lets do it tomar! U don't even come back home! Lets stop tweeting and give the fans what theyw ant tomar .... I'm done...this when u don't get time 2 write raps ...and we gone donate!" Naye Cassidy amemjibu meek kwa kutwit kwa kifupi "I gave @MeekMill months to respond.. Tomorrow? I thought you wasn't battling.. FOH That song got you tight!!! Step them bars up..". Hizi ndo bifu za wenzetu mtoni, vp bongo??

TREY SONGZ AKAMATWA KWA KUMUUMIZA MWANAMKE KWA HELA

Mkali  Tremaine Neverson, maarufu kama Trey Songz amekamatwa na kufikishwa polisi kwa kosa la kumuumiza kwa kutumia hela mwanamke mmoja wakati akirusha hela kwa mashabiki kwa staili ya kinyamwezi 'Make it rain'. Kwamujibu wa TMZ  Songz alifanya hivyo alipokuwa kwenye party ya kuiachia albam yake mpya siku ya tarehe 21 August. Wakati akirusha hela zimeenda kumgusa machoni mdada huyo na kumsababishia maumivu hasahasa jicho la kushoto,hatimae kwenda kumfungulia mashtaka. Kesi imerushwa hadi Mwezi wa pili.

Saturday, December 22, 2012

FAT JOE AKUTWA NA HATIA YA KUKWEPA KULIPA KODI

Mkali wa Hip hop Fat Joe amekutwa na hatia ya kukwepa ulipaji wa kodi serikalini. Kwa mujibu wa Billboard Mkali huyo amekuwa akiidanganya serikali kwa kipindi cha 2007/2008 zaidi ya kiasi cha $700,000. Kwasasa Joe yupo nje kwa dhamana ya $250,000 akisubiri hukumu mwezi wa nne,ambapo anaweza sota jela kwa kipindi cha miaka miwili.

SHILOLE FT. Q- CHILLAH - DUDU (OFFICIALVIDEO)

Wednesday, December 12, 2012

No Name-Hands up

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Muziki wa Bongo, maprodyuza wakali wameungana na kutoa track ya pamoja iitwayo hands up. Wakali hao ambao wanajiita 'No Name' ni P.Funk,Dunga, Lamar,John Mahundi,Akil The brain na Karabani.Dunga ndo kaisimamia beat. Isikilize ngoma hiyo hapa.Video itakuja soon.

Tuesday, December 4, 2012

Welcome back Sugu. Atoa ngoma mpya iitwayo ' Hakuna Matata'.

Mkongwe na muasisi katika tasnia ya Muziki wa bongo fleva, Joseph Mbilinyi, maarufu
katika jina la steji kama Mr.II 'Sugu' ametoa track mpya ijulikanayo kama 'hakuna matata'. Mkali huyu ambaye kwasasa ni Mheshimiwa Mbunge ameiachia rasmi ngoma yake hiyo leo hii ikiwa ni harakati za kuwaonesha vijana kazi inavyofanywa.Ngoma imetengenezwa na Ashvin pamoja na Hermy B kutoka studio za B'Hits za jijini Dar. Wel-come back Sugu.

50 Cent Aelezea single yake mpya iitwayo "My life"

Mkali Curtis Jackson, 50 Cent, amejigamba kwa kuielezea  single yake mpya ijayo iitwayo "My life" kuwa  itakuwa ni single bora kuliko zote alizowahi kutoa. Ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na SOHH. Anaamini kuwa itafanya poa kwani verse ziko tight na Eminem ambae ameshirikishwa kwenye track hiyo ametambaa poa zaidi na midundo ndo usiseme. So ngoja mimi na wewe tusubiri tumsome mchizi Fif. Isikie hapa chini.
50 Cent ft Eminem & Adam Levine - My Life

Powered by mp3skull.com

Ujio Mpya wa Mr. Blue. 'Nipende Kama nilivyo' feat. Walter

Mkali wa Bongo fleva, Young Byser 'Babylon' a.k.a Mr. Blue arudi tena kwenye game baada ya ukimya mrefu, sikia ngoma yake mpya hapa.

P. FUNK 'MAJANI' ASEMA TEKNOLOJIA IMEATHIRI MAUZO YA ALBAM BONGO FLEVA

Unapoongelea muziki wa Bongo Fleva huwezi kuacha kutaja jina la mtayarishaji 'producer' wa muziki huo Paul Mathyse Maarufu kama P. Funk kutoka Studio za Bongo Records. Mkali huyo amefunguka kuwa mauzo ya albamu za muziki huo umeshuka sana kwa hivi sasa. Amebainisha kuwa kipindi cha miaka ya 2001  wasanii walikuwa wakiuza hadi zaidi ya kopi laki tatu,huku akitolea mfano wa albam ya starehe ya Feruz jinsi ilivyofanya vizuri. P. ameweka wazi kuwa sababu kubwa inayosababisha kushuka kwa mauzo ya albam ni kukua kwa teknolojia ya habari ambapo redio stations zinazo piga muziki huo sikuhizi zimekuwa nyingi, mitandao ya kijamii ikiwemo You tube n. k. hivyo msikilizaji anaweza kupata muziki wowote anaouhitaji kwa muda wowote kuliko zamani ambapo wasikilizaji wengi walikuwa wakitegemea tapes. Kwa upande wake anaona kuwa teknolojia inasaidia kuwasogeza wasikilizaji hivyo kutanua soko la muziki.
Mkali P. Funk ameyasema hayo leo kupitia mahojiano yake aliyofanya katika kipindi maarufu cha XXL cha Clouds FM katika segment ya 255.

Saturday, December 1, 2012

EVE AFUNGUKA,ASEMA STEVIE J. NDO ALIKUWA MPENZI WAKE WA KWANZA

Mwanadada mkali wa Hiphop kutoka States,Eve, amefunguka kuwa Star kutoka ATL,Stevie J. ndo alikuwa mpenzi wake wa kwanza kabisa. Amebainisha hayo kupitia kipindi cha Mdada Angie Martinez wa kituo cha Hot 97 Jumatano iliyopita.
Kwasasa Eve ana promote albam yake mpya iitwayo 'Lip Lock'ambayo inatarajiwa kuachiwa Mwezi wa nne mwaka huu.Eve aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Stevie J. ktambo enzi za Ruff Ryders ambapo aliingia kwenye skendo la kutengeneza mkanda wa ngono akiwa na mchizi huyo. Lakini Eve ansema kwasasa hayo yamepita so ana focus zaidi kwenye kazi zake, na tayari keshaachia ngoma kadhaa kwenye albam hiyo ukiwemo wimbo wa 'she bad,bad'
Fuatilia Interview aliyoifanya na Angie Martinez Hapa chini.

B.O.B ASEMA HAKUWAHI KUPATA SUPPORT YA MSHUA WAKE

Mkali kutoka Atlanta (ATL), B.O.B ameweka wazi kuwa katika harakati zake za kuingia katika Rap hata siku moja hajawahi kupata support kutoka kwa baba yake. Akiongea katika episode ya hivi karibuni ya MTV iitwayo "This Is How I Made It," mchizi amesema kuwa mshua wake alikuwa hajavutiwa na chaguo la mwanae la kazi hiyo. "I remember I was walking through the house with a rap book, a do-rag on and some headphones or something, and my dad stopped me," he said, recalling one pivotal moment. "He was like, 'Why are you trying to be something that you're not?' " Alisema Bobby Ray. Kisha jama alimjibu mshua kuwa 'What do you mean, something I'm not?' I'm an MC, I' m a lyricist, I'm a rapper — I love this. Yeah habari ndo hiyo,pale unapoamua kufanya kitu ukipendacho then familia haipo upande wako.Licha ya kutokuwa na support hiyo mchizi alikaza na hatimaye kuwa hot hivi sasa.