Saturday, January 7, 2012

HATIMAYE MAAFISA UGANI 3600 WAPATA AJIRA

Hatimaye serikali ya tanzania kupitia wizara ya kilimo na chakula imetoa ajira 3600 za maafisa ugani na kuwasambaza wilaya zote za Tannzania.

Waajiriwa hao wanapaswa kuripoti kwenye vituo vyao ndani ya muda uliotajwa,kushindwa kufanya hivyo umejitoa mwenyewe na nafasi watapewa ambao wamekosa nafasi.

Lakini zaidi ya wahitimu 2000 wameachwa kinyume na ahadi ya serikali ya kuwaajiri wote, je waende wapi?