Sunday, August 12, 2012
Tuesday, August 7, 2012
MWANDISHI WA HABARI MOHAMED MASENGA, AINGIA KWENYE SIASA KISARAWE
Mwandishi wa habari, Mohamed Masenga, ameamua kubadili upepo na kuanza kujishughulisha na mambo ya kisiasa. Mwandishi huyo ameonekana akichukua fomu ya kugombea nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu UVCCM Taifa ( NEC ) pande za kisarawe. Kama inalipa all the best kaka. Siasa njema.
MUWEZESHE 'CATRINA' FIESTA SUPA NYOTA 2012
Tuma neno FIESTA 14 kwenda namba 15678 kumpigia kura Catrina ashinde katika fiesta supa nyota 2012.Ni mdada mkali wa sauti kutoka A-town. Anaweza.
Thursday, August 2, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)

