Saturday, November 12, 2011

MITUTU NDIO SULUHISHO?????

Sometime unapofikiria unaweza kukosa jibu kwamba ni jitihada za kuwakomboa wananchi au kuwakandamiza, hususan pale kwenye masuala ambayo viongozi wanadai ni ya maendeleo. Angalia chanzo cha haya matatizo then pima na njia zinazo tumika kuyatatua. Hili lililotokea mbeya linafanana na lile lililotokea Mwanza hivi karibuni. Na matukio yote mawili yamesababishwa na mtu mmoja "MR. Kandoro " na sera zake za safisha jiji. Kafanya mwanza yametokea maafa, sasa kayaleta mbeya maafa mengine. Ni sera nzuri lakini mheshimiwa anakosa approach zenye ushirikiano na wananchi wake. Maoni tu.

0 comments:

Post a Comment