Saturday, September 8, 2012

COLLINS 'MO LOVER' KICHWA KIPYA BONGO, ATOKA NA "NILIKUPENDA"

Kutoka studio ya AM Records chini ya mhunzi wa sauti Manecky, anapatikana mchizi huyu hapa
Collins a.k.a Mo'Lover akiwa amemshirikisha Drama boy wamedondosha ngoma kali ambayo kwangu mimi naona kama ni 'Good Start n good staff'.Baada ya kunitumia hii ngoma nikaona ni vyema nikikudondoshea na wewe uisikie kisha ujipakulie.

4 comments: