Saturday, September 14, 2013

Francis Cheka kujengewa nyumba ya Kisasa na Serikali

Baada ya kumtwanga Mmarekani Phil Williams katika Masumbwi na kutwaa ubingwa wa Dunia, Mkali Francis Cheka sasa kujengewa nyumba ya kisasa na serikali kama sehemu ya pongezi kwa ushindi huo.
Ahadi hiyo imetolewa Jana Trh. 13 Sept. 2013 na Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Joel Bendera kwa niaba ya serikali wakati wa hafla fupi ya kumpongeza Mkali huyo Mjini Morogoro. Hongera sana Cheka. U deserve Bro.

0 comments:

Post a Comment