Saturday, February 18, 2012

MPIGIE KURA FID-Q BEST HIP HOP ARTIST

Muwezeshe Fid-Q kupata tunzo ya Msanii bora wa Hiphop Tanzania katika KILI MUSIC AWARDS 2012. Ili kumuwezesha Andika namba yake ya ushiriki ambayo ni P5 kwenye meseji kisha itume kwenda namba 15747. Fanya hivyo mara nyingi uwezavyo kwani Mchizi anastahili.

2 comments:

  1. corabo ya Loon&Nura na Mims&J mo which 1 is the best

    ReplyDelete
  2. Yeah nimeisoma hyo, jay mo na mimz kali

    ReplyDelete