Yule mkali wa sanaa ya vichekesho na bongo fleva Hussein Ramadhani Mkieti,maarufu kama Sharo milionea amefariki dunia jana majira ya saa mbili usiku katika kijiji cha Lusanga-muheza,Tanga kutokana na ajali ya gari iliyotokea akiwa njiani akielekea nyumbani kwao Muheza.akitokea Dar ea salaam. Kamanda wa Tanga Bwana Costantine Masawe amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii huyo. Kamanda Masawe



0 comments:
Post a Comment