Tuesday, October 29, 2013

EMINEM NA RIHANA KUFANYA NGOMA MPYA YA PAMOJA TENA 'MONSTER''

Kwa mara ya kwanza Rihana 'Riri' na Eminem walitisha sana kwa ngoma ya 'Love the way you lie', Jana October 28, Eminem ameweka wazi kuwa wanaachia ngoma nyingine iitwayo 'Monster' ambayo inatabiriwa makubwa katika soko.
Ngoma inaanza kwa Acoustic guitar na Rihana ananzaa kwa kuimba maneno haya "I'm friends with the monster that's under my bed/ Get along with the voices inside of my head/ You trying to save me, stop holding your breath," Ni ngoma kali in short.

0 comments:

Post a Comment