Thursday, October 31, 2013

Mariah Carey na Nas wapiga collabo kali

Mapema Mwaka huu Mdada Mariah Carey aliweka teaser juu ya albam yake ijayo iitwayo 'The Art of Letting Go', lakini alichelewa kuiachia hiyo albam kama alivyoahidi ili kukamilisha mambo kadha wa kadha. Moja kati ya hizo sababu za ukamilishaji ni pamoja na kuijumuisha ngoma anayofanya na Mkali Nas.Naamini itakuwa ni bonge la collabo.Msikilize yeye mwenyewe Mariah Carey akifunguka.

0 comments:

Post a Comment