Thursday, August 16, 2012

DRAKE NA CHRIS BROWN WAPIGWA FAINI YA DOLA MILIONI 16

Wakali Drake na Chris Brown wamepigwa faini ya dola za kimarekani milioni 16 Kutokana na ugomvi kati yao uliotokea Juni 14 mwaka huu na kusababisha takribani watu 7 kuumizwa.
Washikaji wamekumbwa na faini hii jumatano jana baada ya mahakama kuona kuwa wanastahili kulipa kutokana na hasara iliyotokea usiku wa tukio katika klabu ya W.I.P.

0 comments:

Post a Comment