Tuesday, August 7, 2012

MWANDISHI WA HABARI MOHAMED MASENGA, AINGIA KWENYE SIASA KISARAWE

Mwandishi wa habari, Mohamed Masenga, ameamua kubadili upepo na kuanza kujishughulisha na mambo ya kisiasa. Mwandishi huyo ameonekana akichukua fomu ya kugombea nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu UVCCM Taifa ( NEC ) pande za kisarawe. Kama inalipa all the best kaka. Siasa njema.

0 comments:

Post a Comment