Saturday, December 1, 2012

EVE AFUNGUKA,ASEMA STEVIE J. NDO ALIKUWA MPENZI WAKE WA KWANZA

Mwanadada mkali wa Hiphop kutoka States,Eve, amefunguka kuwa Star kutoka ATL,Stevie J. ndo alikuwa mpenzi wake wa kwanza kabisa. Amebainisha hayo kupitia kipindi cha Mdada Angie Martinez wa kituo cha Hot 97 Jumatano iliyopita.
Kwasasa Eve ana promote albam yake mpya iitwayo 'Lip Lock'ambayo inatarajiwa kuachiwa Mwezi wa nne mwaka huu.Eve aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Stevie J. ktambo enzi za Ruff Ryders ambapo aliingia kwenye skendo la kutengeneza mkanda wa ngono akiwa na mchizi huyo. Lakini Eve ansema kwasasa hayo yamepita so ana focus zaidi kwenye kazi zake, na tayari keshaachia ngoma kadhaa kwenye albam hiyo ukiwemo wimbo wa 'she bad,bad'
Fuatilia Interview aliyoifanya na Angie Martinez Hapa chini.

0 comments:

Post a Comment