Tuesday, December 4, 2012

Welcome back Sugu. Atoa ngoma mpya iitwayo ' Hakuna Matata'.

Mkongwe na muasisi katika tasnia ya Muziki wa bongo fleva, Joseph Mbilinyi, maarufu
katika jina la steji kama Mr.II 'Sugu' ametoa track mpya ijulikanayo kama 'hakuna matata'. Mkali huyu ambaye kwasasa ni Mheshimiwa Mbunge ameiachia rasmi ngoma yake hiyo leo hii ikiwa ni harakati za kuwaonesha vijana kazi inavyofanywa.Ngoma imetengenezwa na Ashvin pamoja na Hermy B kutoka studio za B'Hits za jijini Dar. Wel-come back Sugu.

0 comments:

Post a Comment