Saturday, December 22, 2012

FAT JOE AKUTWA NA HATIA YA KUKWEPA KULIPA KODI

Mkali wa Hip hop Fat Joe amekutwa na hatia ya kukwepa ulipaji wa kodi serikalini. Kwa mujibu wa Billboard Mkali huyo amekuwa akiidanganya serikali kwa kipindi cha 2007/2008 zaidi ya kiasi cha $700,000. Kwasasa Joe yupo nje kwa dhamana ya $250,000 akisubiri hukumu mwezi wa nne,ambapo anaweza sota jela kwa kipindi cha miaka miwili.

0 comments:

Post a Comment