Wednesday, December 12, 2012

No Name-Hands up

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Muziki wa Bongo, maprodyuza wakali wameungana na kutoa track ya pamoja iitwayo hands up. Wakali hao ambao wanajiita 'No Name' ni P.Funk,Dunga, Lamar,John Mahundi,Akil The brain na Karabani.Dunga ndo kaisimamia beat. Isikilize ngoma hiyo hapa.Video itakuja soon.

4 comments:

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  3. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  4. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete