Friday, August 9, 2013

BEYONCE AAMUA KUNYOA NYWELE, AWA NA MUONEKANO MPYA

Bi. dada mkali kutoka state, Beyonce Knowles ameamua kufuata nyayo za Bi. shosti Rihanna kwa kuamua
kuyatoa yale manywele yake marefu na kubaki na nywele fupi. Kimtindo amebadili muonekano. Alitupia picha katika mtandao wa Instagram wa muonekano wake mpya.

0 comments:

Post a Comment