Thursday, May 17, 2012

DMX AFUNGUKA JUU YA UJIO WAKE MPYA KATIKA GEMU

Dark Man X ( DMX) Amesema ameamua kurudi kwenye gemu ya muziki na kuufanya kama kazi.
Amefunguka hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha MTV. Amesema kuwa kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na masuala ya kisheria na kupelekea mara kadhaa kutupwa ndani,hivyo kwasasa hataki tena mpango huo. Ametiririka kuwa kwasasa anataka afanye muziki ki professional zaidi na si longolongo.

Kwasasa X ameachia Extended Play 'EP' Yake mpya iitwayo 'The way in EP' kama 'appetizer ' ya album yake mpya ijayo iitwayo 'Undisputed'.

Welcome back X.

0 comments:

Post a Comment