Friday, May 18, 2012

DONNA SUMMER a.k.a 'QUEEN OF DISCO' AFARIKI DUNIA

Mkali Donna Summer,Queen of Disco, mmoja kati ya wasanii waliowahi kufanikiwa kimuziki miaka ya 1970's na 1980's amefariki jana ( may 17) akiwa na umri wa miaka 63 kutokana na ugonjwa wa cancer.

Umauti umemkuta akiwa mjini Florida Marekani ingawa bado haijawekwa wazi ni cancer ya aina gani iliyomsababishia kifo.
Habari za kifo chake zimethibitishwa na Muongeaji wa msanii huyo kupitia kituo cha CNN.

R.I.P Queen.

0 comments:

Post a Comment