Wednesday, May 30, 2012

Kim Kardashian: NIMEIBIWA MIWANI AMBAYO THAMANI YAKE HAKUNA KITU KINACHOWEZA KUFANANISHWA

 Mwanamitindo,muigizaji,na mjasiria mali,Kim Kardashian, Juzi ijumaa ameibiwa miwani yake iliyokuwa ndani ya begi maeneo ya airpport akiwa anatokea Ufaransa na kudai kuwa hakuna kitu kinachoweza kulipa thamani yake.

Amesema kuwa miwani hiyo ya jua aliachiwa na baba yake Robert Kardashian kabla hajafariki na huwa anayavaa pindi akiwa kwenye matukio maalum tu.
Kupitia akaunti yake ya twitter Kardashian baada ya kugundua ameibiwa ali twit ""Very disappointed in British Airways for opening my luggage & taking some special items of mine! Some things are sentimental & not replaceable."
Pole sana Bi. dada.

0 comments:

Post a Comment