Monday, May 28, 2012

MARY J. BLIGE AKWEPA KULIPA DENI BENKI

Malkia na gwiji wa miondoko ya Soul, mdada Mary J. Blige  yupo kwenye wakati mgumu baada ya kuingia kwenye skendo ya kukwepa kulipa deni benki lenye thamani ya dola za kimarekani 250,000 kutokana na mkopo waliochukua mwaka jana kwaajili ya kusaidia maendeleo ya wanawake kupitia foundation yake na Steve Stoute.Benki imesema iliwapasa kulipa deni desemba 2011 lakini hela iliyolipwa ni dola 368.33 tu.

Pia foundation hiyo inashukiwa kwa kutowalipa wasanii kadhaa walioitwa ku 'perform' kwenye 'fund raising' fulani huko mtoni.

0 comments:

Post a Comment