Friday, May 18, 2012

OLA NA CHRIS WAJITOA BIG BROTHER AFRICA STAR GAME

Washiriki wa BBA-STAR GAME kutoka nchini Nigeria wameamua kutangaza kujitoa katika jumba hilo baada ya Ola kulalamikia hali ya afya yake kwa BIGGIE.

Ola amesema kuwa anamatatizo ya shinikizo la damu "blood pressure" na hana hakika kama dawa anazotumia zinamsaidia.
‘Health is wealth", alisema Ola. Yes, this is a game. However, we can’t play with our lives’ aliongezea Chris akiwa katika hali ya huzuni. Wakimaanisha kuwa "afya ni bora kuliko hayo mashindano,na hawapo tayari kuhatarisha maisha yao."
Yote kwa yote kwa upande wangu nadhani hawa jamaa wasingeshiriki kabisa tangu mwanzo kwani walizijua afya zao kabla,so wameziba tu chance za wengine ambao labda wangefanya vizuri. By the way sijaathirika sana kwani watu wangu wa Bongo walishaaga mashindano siku nyiiiingi.

0 comments:

Post a Comment