Thursday, May 17, 2012

T.I ATANGAZA UJIO WA ALBUM YAKE MPYA YA ' TROUBLE MAN' YENYE TRACK 45

Mkali wa hiphop kutoka ATL, T.I ameweka wazi ujio wa album yake mpya yenye ngoma takribani 45 iitwayo 'TROUBLE MAN'. T.I amefunguka kuwa kwasasa bado yupo kwenye mishemishe za kurekodi album hiyo ila amebainisha kuwa anatarajia kuiachia September 4 mwaka huu.
Ameyasema hayo kupitia mahojiano aliyofanya na Billboard Juice.

Kutokana na wakali ambao watakuwemo ndani ya hiyo albam, ni wazi kuwa itakuwa ni mzigo wa maana.Baadhi ya wakali hao ni Usher, Cee-Lo,Bruno mars na wengine kibaaao.

0 comments:

Post a Comment