Thursday, May 17, 2012

MKALI WA TENNIS, SERENA WILLIAMS AGEUKIA HIPHOP

Tupa kule tennis kwasasa, mkali wa mchezo wa tennis mwanadada Serena Williams ameamua kuugeukia muziki wa hiphop na kutoa ngoma zake.

Serena amerekodi ngoma kadhaa mwaka jana kutoka katika studio ya the B Major Music Group, Florida ambayo inamilikiwa na rafiki yake ambaye ni mchezaji wa timu ya Baltimore Ravens anayejulikana kama Bryant McKinnie.

Hii ni baadhi ya mistari ya Rap yake mpya:

I ball hard no tennis racket,
I can see these haters through my Gucci glasses,
I make hits like batting practice,
They be like ‘Serena is you really rappin’?’

Thats me, Thanks for listening
Schooling these rappers…

I win, I really mean it,
Swag out this world, you should call me Venus,
That’s my sister, my name is Serena,
I serve ‘em up, no subpoena,
Cook the track up like a frozen pizza”
Duuuuuuu!!!! ametisha

0 comments:

Post a Comment