Monday, July 16, 2012

KANYEWEST & KIM KARDASHIAN WAISHI KAMA MAPACHA HIVI SASA

Kanyewest na Mpenzi wake Kim Kardashian hivi sasa wanaishi kama mapacha vile.
Hii ni kutokana na namna ya mienendo yao kufanana kwa siku kadhaa mfululizo. Hivi sasa kim na kanye wakitoka wanavaa nguo zinazo fanana rangi,muda wote wapo pamoja wakishikana mikono. Kila umuonapo Kim basi na Kanye yupo. Hiyo imepelekea kubatizwa jina la 'Kimye',ikimaanisha kim na kanye.
Ofkouz inapendeza, all the best 'Kimye'.

0 comments:

Post a Comment