Sunday, July 15, 2012

MTOTO WA RAMBO AFARIKI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 36,

Mtoto wa kiume wa Star wa movie za kibabe,Sylvester Stallone (RAMBO) aitwaye Sage Stallone, amefariki juzi Trh 13/07/2012 akiwa na umri wa miaka 36.

Sababu za kifo chake bado hazijafahamika wazi ingawa ripoti za awali zinaonesha kuwa alikuwa nyumbani kwake na girlfriend wake au mfanyakazi wake wa ndani.Baada ya watu wa afya kuja pale wamesema kuwa kifo kimesababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya,ingawa bado haijathibitishwa zaidi juu ya hilo.

Sage alishawahi kucheza filamu na baba yake iitwayo Rocky 5.

0 comments:

Post a Comment