Wednesday, January 16, 2013

Je, Bonta ana bifu na Q. The Don???

Ishazoeleka mkali Bonta kutoka kaskazini kwa weusi kufanya kazi na Producer Q-The Don, lakini katika ngoma yake mpya iitwayo Maktaba, Bonta hakufanya na Q na mwanzo wa track hiyo anasikika akisema kuwa "...it's not Q. the Don no more.." sasa maswali yanayo ulizwa ni je, Bonta na Q haziivi tena au??? Utayafahamu hayo soon humuhumu. Keep on following.

0 comments:

Post a Comment