Sunday, January 27, 2013

Nikki Mbishi asema wimbo wake utaitwa 'NEY WA MITEGO' atoa mistari kadhaa Facebook.

Kupitia page yake ya facebook Nikki Mbishi 'Baba Malcolm' leo kaibuka na Post hii hapa chini. Hebu isome mwenyewe pamoja na comment za wadau then tafakari. Ukipata jibu niambie itamuweka katika mazingira gani na msanii mwenye jina linalo fanana na jina la wimbo wake. Siongei saaana.




    • Fredy Rafael Nikki Mbish ney asije akaanzisha bifu la mwaka
    • Amina Hassan Kijana mbn kam unaanza chokochoka mtaonana wabaya muda c mrefu
    • Paul Francis Ha ha ha ha ha ha haaa hii ni hatariiiiiiiiiii.........
    • Scrank Dapa Slopadanga Ney hawez vumilia, nazan unatafuta bifu maana cjui ka ataelewa kama 2lvoelewa sis
    • Sebastian James Jr. mmmhhhhhh we subir vumbi la hyooo muhun mwehu maaana dah
    • Joel Ndanzi Mmmmmmmh! Mvua ya ugomv hiyoooooo!
    • Sindato Conscious oiii!!! xaxa unataka kubakwa nick mbxh
      Hope Lee Duh... Meipenda iyo!
    • Dallarz Ukuni Duuh!ushauri wa bure achana na bifu za namna hiyo cz inaweza ikafanya watu wakuarafat bure mji uuone mchungu
    • Issa Mwalimu Aisee idea ni nzuri ila nahis bifu nzito inakuja
    • Saleh Kawambwa Ucpende cfa za kijinga!
    • Tamka Samweli idea nzuri lakini jina la wimbo sio kaka,achana nalo coz utakumbana na beef zsizo na maana

    • Aloyce Këšşý wamekuchokoza midomo imeponza vichwa its over niko soba nasiko chicha
    • Shomary Omary Babuu Kip it rily... f**k dem wack mc'z til dem drop. Fear none RESPECT few BROZA.

0 comments:

Post a Comment